UNICEF NA KAMPENI KUHUSU HAKI ZA WATOTO




Wanahabari watoto Tanzania wakiandaa habari zinazohusu watoto. Picha@UNICEF (posted on


Nchini Tanzania, serikali imekuwa inajitahidi kuendeleza hali ya haki za watoto. Mafanikio hayo yamepongezwa katika mkutano wa 68 wa kamati ya haki za watoto unaoendelea mjini Geneva, Uswisi. Hata hivo, changamoto nyingi bado zipo, ikiwemo ndoa na mimba za utotoni. Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF pamoja na Mtandao wa Wanahabari Watoto Tanzania limeunda kampeni ya kuelimisha jamii kupitia matangazo ya redio. Kulikoni? Ungana na Priscilla Lecomte kwenye makala hii.

Source;
http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2015/01/unicef-na-kampeni-kuhusu-haki-za-watoto/#.VVDP0S6LW9s

 UJAMAA ORPHANAGE FOUNDATION -PRIDE IN THE COMMUNITY
www.facebook.com/ujamaaorphanagefoundation

0 comments: